Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Fiction
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/7b/ba/a7/7bbaa755-2564-229a-b826-6090ddce6955/mza_17712269927645379386.jpg/600x600bb.jpg
Changu Chako, Chako Changu
RFI Kiswahili
24 episodes
3 days ago

Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.

Show more...
Society & Culture
RSS
All content for Changu Chako, Chako Changu is the property of RFI Kiswahili and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.

Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.

Show more...
Society & Culture
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/7b/ba/a7/7bbaa755-2564-229a-b826-6090ddce6955/mza_17712269927645379386.jpg/600x600bb.jpg
Raia wa Ufaransa washerehekea sikukuu ya uhuru wa Ufaransa, la Bastille
Changu Chako, Chako Changu
20 minutes 14 seconds
4 months ago
Raia wa Ufaransa washerehekea sikukuu ya uhuru wa Ufaransa, la Bastille
Makala hii inaangazia historia ya mapinduzi ya Ufaransa, na pia mahojiano na mwalimu wa lugha ya kifaransa katika jiji la Nairobi nchini Kenya, lakini pia maonyesho ya muziki katika kituo cha utamaduni wa Ufaransa Alliance francaise ya Nairobi na katika muziki ni Popal Issevosi msanii aliyejikita katika kuhimiza juu ya namna ya kukinga mazingira huko DRC.Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka ambaye anazungumza na Mwanahistoria aliyebobea Benjamin Babunga Watuna akiwa Brussels Ubelgiji
Changu Chako, Chako Changu

Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.