Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Fiction
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/7b/ba/a7/7bbaa755-2564-229a-b826-6090ddce6955/mza_17712269927645379386.jpg/600x600bb.jpg
Changu Chako, Chako Changu
RFI Kiswahili
24 episodes
3 days ago

Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.

Show more...
Society & Culture
RSS
All content for Changu Chako, Chako Changu is the property of RFI Kiswahili and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.

Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.

Show more...
Society & Culture
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/7b/ba/a7/7bbaa755-2564-229a-b826-6090ddce6955/mza_17712269927645379386.jpg/600x600bb.jpg
Maandalizi ya utoaji Tuzo za Safal Fasihi ya Kiswahili Julai 3 jijini Dar es salaam
Changu Chako, Chako Changu
20 minutes 5 seconds
4 months ago
Maandalizi ya utoaji Tuzo za Safal Fasihi ya Kiswahili Julai 3 jijini Dar es salaam
Katika mchakato wa kukibidhaisha Kiswahili duniani, kampuni ya MRM sehemu ya Safal Group wamekuwa wakiandaa tuzo ya Safal Fasihi ya Kiswahili, ambapo mwaka huu ni tuzo ya 9, ambayo itatolewa Julai 3 katika chuo kikuu cha Dar es salaam nchini Tanzania. Mtangazaji wako wa maswala ya Historia ya Utamaduni amezungumza na waandaji wa tuzo hiyo kufahamu zaidi.
Changu Chako, Chako Changu

Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.