
Katika kipindi hiki, tunachambua tofauti na kufanana kwa viwango vya urembo kati ya Marekani na Tanzania/Mashariki ya Afrika. Ni nani anayeamua nini ni "urembo"? Je, mitazamo ya kijamii, historia na utamaduni vina athari gani kwenye mwonekano? Usikose!
#BongoBilaBorders #Urembo #Mwonekano #PodcastYaKiswahili #EastAfricaMeetsUSA
#SwahiliPodcast